Wabunge wa jimbo la
Mkwawa-Makanygio na Ilala. Wanapenda kuwataarifu wanachuo wote wanaoishi nje ya
chuo kuwa,
Kumekuwa na taarifa za
wizi uliokithiri kwa wanachuo waishio nje ya chuo, hasa katika msimu huu wa
sherehe za mwisho wa mwaka.
Baada ya kupokea
taarifa na kwakushirikiana na Wizara husika ya nje wameomba ridhaa kwa Dean of
students ya kufanya kikao na Afisa mtendaji kata ya Mkwawa na Wenyeviti
wote wa
Serikali za Mitaa. Baada ya Dean kuona uzito wa suala lenyewe ameruhusu
kufanya kikao, na sasa inasubiriwa ofisi ya Dean kufanya mawasiliano ya Kikao
hicho cha viongozi na ofisi ya Afisa Mtendaji kata.
Baada ya kufanyika
kikao hicho cha viongozi na ofisi ya Afisa Mtendaji, Viongozi watatoa taarifa
ya kikao cha mrejesho kwa wanachuo wote wanaoishi nje ya chuo.
Kwa kipindi hiki wakati
taratibu zinaendelea kufanyika ni vema kila Mtu awe makini yeye pamoja na mali
zake.
Wenu wawakilishi;
08/12/2013
CHIPETA, Alfonce (Mb)- Mkwawa Makanyagio. 0754 393 752.
IKENDA, Ambele (Mb)- Ilala. 0769 851 449
No comments:
Post a Comment