Thursday, November 28, 2013

TANGAZO MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI MANISPAA YA IRINGA YATAFANYIKA CHUONI MKWAWA



DR. SIMON LYUBA, MGANGA MKUU WA KITUO CHA AFYA CHUO KIKUU CHA MKWAWA ANAPENDA KUWATANGAZIA  MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI. TAREHE 1.12.2013

Tarehe 1.mwezi wa desemba ni siku ya UKIMWI duniani na maadhimisho ya siku hiyo kwa manispaa ya iringa yatafanyika kwenye viwanja vya mpira chuo kikuu cha mkwawa
Kauli mbiu ya mwaka huu ni “TANZANIA BILA MAAMBUKIZI MAPYA, UNYANYAPAA UBAGUZI NA VIFO VITOKANAVYO NA UKIMWI INAWEZEKANA”
Mgeni rasmi atakuwa Mkuu wa mkoa wa Iringa
Wanajumuiya wote wa chuo kikuu cha mkwawa mnakaribishwa sana (wanafunzi na wafanyakazi)
Maadhimisho yataanza saa tatu asubuhi mpaka saa saba mchana

Imetolewa na Mganga mkuu wa kituo cha afya chuo kikuu cha mkwawa (Dr Simon Lyuba). 
MNAKARIBISHWA SANA WANAJUMUIYA YA CHUO KIKUU CHA MKWAWA

No comments:

Post a Comment